Psalms 41:1-2

Maombi Ya Mtu Mgonjwa

(Kwa Mwimbishaji: Zaburi Ya Daudi)


1 aHeri mtu yule anayemjali mnyonge,
Bwana atamwokoa wakati wa shida.

2 b Bwana atamlinda na kuyahifadhi maisha yake,
atambariki katika nchi
na hatamwacha katika tamaa ya adui zake.
Copyright information for SwhKC